Tenda Radio TZ Podcast
Tenda Radio TZ Podcast
Latest Episodes
MABILIONI YANAVYOTOLEWA KWA WATU WENYE ULEMAVU KUPITIA MFUMO WA NeST
Zaidi Shilingi Trilioni 5 ya Tenda za serikali iliyotengwa kwa ajili ya makundi maalum yaani vijana, wanawake, wazee na watu wenye ulemavu inakusubiri wewe?Sikiliza msimu mpya wa Tenda Radio. Jumatano hii tukupe code ya k...
FURSA ZA SHERIA MPYA YA UNUNUZI WA UMMA, NEEMA NA ADHABU
Tenda Radio imefanya mahojiano maalum na Mkurugenzi wa Huduma za Sheria wa Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA), Wakili Msomi Paul T. Kadushi, amefunguka fursa zinazopatikana kwenye sheria mpya ya ununuzi wa umma ya Tanzania. ...
JINSI YA KUPATA KIASI CHA BAJETI MPYA YA SERIKALI KUPITIA MFUMO WA NeST, TUKO BUNGENI
Tenda Radio Sehemu ya 5 inazungumzia jinsi ambavyo wazabuni wa Tanzania wamepewa upendeleo maalum kwenye sheria mpya, na jinsi ambavyo wanaweza kupata sehemu ya Bajeti ya Serikali iliyotangazwa bungeni (2024/25). Ndani, utamsikia N...
Jinsi watumiaji wanavyokuwa salama kwenye Mfumo wa NeST
Hii ni sehemu ya Nne ya Tenda Radio, ambapo pamoja na mambo mengine, tumezungumzia usalama wa watumiaji katika Mfumo wa NeST. Tumezungumza na Mkurugenzi wa Mifumo ya TEHAMA ambaye pia ni Meneja Mradi wa Ujenzi wa Mfumo wa NeST, Bw. Mic...