Since
Episodes
8
Tenda Radio TZ Podcast
TENDA RADIO ni ‘podcast radio’ iliyojikita katika kuwafahamisha, kuwaelimisha na kuwahamasisha wasikilizaji kuhusu fursa za tenda za Serikali, na jinsi ya kupata fursa ya kujipatia fedha za ununuzi wa umma kupitia Mfumo wa NeST.
Pia, maudhui haya yanaruka kupitia radio washirika wetu nchini Tanzania ikiwemo Radio Free Afrika, C-FM (Dodoma), A FM (Dodoma), Uyui FM (Tabora), Jembe FM (Mwanza) na nyingine.
Imepewa nguvu na Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA).